
Dj
Frank Jez ni mtanzania ambae aliondoka Tanzania kwenda Ireland kusoma
miaka ya 90 na baadae akaamua kuishi huko na kuanza kuwa Dj, mpaka sasa
ameshaandaa na kufanya show na mastaa mbalimbali wa muziki duniani.

Dj Frank na B.O.B

.

.

.

Dj Frank Jez na Akon

Na Chris Brown.

.

.

.

Na Chipmunk

Na Tinie Tempa

.

.

Na Wyclef

Na Trey Songs

Na Neyo

Na Rick Ross.

.

Mtoto wa Dj Frank Jez na Jason Derulo.

Na Diddy.

Na The Game

Na Mindless Behaviour.