SHETA AKIRI KUMTUNDIKA KIBENDI LEYLA ILI ARUHUSIWE KUMUOA

0

SHETA AKIRI KUMTUNDIKA KIBENDI LEYLA ILI ARUHUSIWE KUMUOA

Shetta na Shemeji yetu mtoto Leyla
Msanii wa bongo flava maarufu kama Sheta ( Dastamina's President) jana aliuaga ukapera kwa kufunga ndoa akiwa na umri wa miaka 22 kamili, mtoto wa kike aliyepata bahati kuwekwa ndani na msanii huyo anaitwa Leyla, toto jeupe lenye  asili ya kisomali (Video Queen wa Maneno maneno Song ya Queen Darlin)
Sheta amekiri kuwa ilibidi atumie Technic za kikubwa kidogo ili kuweza kujimilikisha mtoto Leyla, kwani awali wazazi wa binti hiyo wenye maskani yao pande Mabaybo (dsm) walimchomolea katu katu msanii huyo, ambayo yeye mwenyewe (Sheta) ana hisi ni kutokana na watu wenye asili ya Somalia hupenda kufunga ndoa wenyewe kwa wenyewe, ndipo msanii akafikiria apige tukio gani ili wazee wasitie ngumu? ndipo aka come up na idea ya kumjaza kibendi shemeji yetu, na kweli kitu kikaitika wazaz wakaona mh....bora yesheeee, wakamwita Mhusika mkuu na kukaa nae meza moja hatimaye jana alfajiri Sheta   akamuoa Leyla huku akiwa na Ujauzito wa miezi sita, kudadadadeki!!
Sheta anaona utaaamu....

0 comments: