Kutoka kwa Diva na Adam Mchomvu baada ya headlines za kusimamishwa kazi Clouds FM

0

adam
Jana kitu kilichokua headline kubwa kwenye mtandao ni kuhusu Adam Mchomvu, Diva na B12.
Hizi ndio status walizoandika Adam Mchomvu na Diva kwenye kurasa zao za instagram.
babajonii2
babajonii
diva2
diva

Orodha Nzima Ya Washindi Wa BET Awards 2013 Inapatikana Hapa

0

Best Female R&B/Pop Artist
Beyoncé
Tamar Braxton
Alicia Keys
*Rihanna
Elle Varner
Best Male R&B/Pop Artist
Chris Brown
Bruno Mars
*Miguel
Justin Timberlake
Usher
Best Group
*Macklemore & Ryan Lewis
Mary Mary
Mindless Behavior
Slaughterhouse
The Throne (Kanye West and Jay-Z)
Best Collaboration
 2 Chainz (featuring Drake) - "No Lie"
*A$AP Rocky (featuring Drake, 2 Chainz and Kendrick Lamar) - "F---in' Problems"
French Montana (featuring Rick Ross, Drake and Lil Wayne) - "Pop That"
Kendrick Lamar (featuring Drake) - "Poetic Justice"
Justin Timberlake (featuring Jay-Z) - "Suit & Tie"
Kanye West (featuring Big Sean, Pusha T and 2 Chainz) - "Mercy"
Best Male Hip Hop Artist
2 Chainz
A$AP Rocky
Drake
Future
*Kendrick Lamar
Best Female Hip Hop Artist
Azealia Banks
Eve
*Nicki Minaj
Rasheeda
Rye Rye
Video of the Year
2 Chainz (featuring Drake) - "No Lie"
A$AP Rocky (featuring Drake, 2 Chainz and Kendrick Lamar) - "F---in' Problems"
*Drake - "Started From the Bottom"
Drake (featuring Lil Wayne) - "HYFR"
Kendrick Lamar (featuring Drake) - "Poetic Justice"
Macklemore & Ryan Lewis (featuring Wanz) - "Thrift Shop"
Miguel - "Adorn"
Rihanna - "Diamonds"
Justin Timberlake (featuring Jay-Z) - "Suit & Tie"
Kanye West (featuring Big Sean, Pusha T and 2 Chainz) - "Mercy"
Video Director of the Year
A$AP Rocky and Sam Lecca
*Benny Boom
Director X
Dre Films
Hype Williams
Best New Artist
Azealia Banks
Joey Bada$$
*Kendrick Lamar
Trinidad Jame$
The Weeknd
Best Gospel Artist
Deitrick Haddon
Lecrae
Tamela Mann
*Mary Mary
Marvin Sapp
Best Actress
Angela Bassett
Halle Berry
Taraji P. Henson
Gabrielle Union
*Kerry Washington
Best Actor
Don Cheadle
Common
*Jamie Foxx
Samuel L. Jackson
Denzel Washington
YoungStars Award
*Gabrielle Douglas
Jacob Latimore
Keke Palmer
Jaden Smith
Quvenzhané Wallis
Best Movie
"Beasts of the Southern Wild"
"Django Unchained"
"Something From Nothing: The Art of Rap"
"Sparkle"
*"Think Like a Man"
Subway Sportswoman of the Year
*Gabrielle Douglas
Brittney Griner
Candace Parker
Serena Williams
Venus Williams
Subway Sportsman of the Year
Victor Cruz
Kevin Durant
Robert Griffin III
*LeBron James
Ray Lewis
Coca-Cola Viewers' Choice Award
A$AP Rocky (featuring Drake, 2 Chainz and Kendrick Lamar) - "F---in' Problems"
*Drake - "Started From the Bottom"
Kendrick Lamar - "Swimming Pools (Drank)"
Miguel - "Adorn"
Rihanna - "Diamonds"
Justin Timberlake (featuring Jay-Z) - "Suit & Tie"
Centric Award
*Tamar Braxton - "Love and War"
Fantasia - "Lose to Win"
Miguel - "Adorn"
Nas - "Daughters"
Charlie Wilson - "My Love Is All I Have"
Best International Act: Africa
2Face Idibia (Nigeria)
Toya Delazy (South Africa)
Donald (South Africa)
*Ice Prince (Nigeria)
R2Bees (Ghana)
Radio and Weasel (Uganda)
Best International Act: UK
Marsha Ambrosius
Estelle
Labrinth
Rita Ora
*Emeli Sandé
Wiley

PICHA: 'Epiq Moments' za Rais Obama wakati alipowasili nchini Tanzania Mchana wa leo

1

Hii Imechukuliwa Kama Dis Kwa Lil Wayne Kutoka Kwa Jay z

0

Kwenye album mpya ya Jay z Magna Carta Holy Grail kuna wimbo unaitwa "La Familia" na kwenye hii joint kuna mistari imetafrisiwa kuwa ni dis kwa rapper Lil Wayne. Kama Unakumbuka Jay z alimchana vibaya Birdmen kwenye Joint ya HAM Kwa mistari hii 

“I’m like really half a billi nigga, really you got Baby money; Keep it real with niggas, niggas ain’t got my lady money”
Na baadae Lil Wayne alimjibu Jay z kuwa mistari hii 

“Talkin ’bout Baby money? I got your baby money; Kidnap your bitch, get that ‘how much you love your lady’ money; I know you fake nigga, press your brakes nigga; I’ll take you out, that’s a date nigga
 Sasa Jay z is back again on it na mistari kutoka kwenye Joint yake mpya, Jay Kasema

 “Nigga wanna kidnap wifey, good luck with that bruh; You must gonna hide your whole family, what you think we wearing black for? Ready for that war, ready for that war ready; You ain’t ready yo’, you radio; You ain’t really ready, real nigga chea”

CHARISMATIC BASH-29/06/2013

0

WEMA NA KAJALA WATIBUANA, KAJALA ATHIBITISHA HILO....SOMA STORY KAMILI

0


Na Musa Mateja
KIMENUKA! Utabiri wa wengi kuwa ushosti wa waigizaji masistaduu wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja kutumbukia nyongo unadaiwa kutimia na sasa wametibuana, Ijumaa limenyetishiwa.

Wema katika pozi na Kajala.
Habari za ndani kutoka kwa mtu wa karibu (jina linahifadhiwa), mwanzoni baada ya Wema kumlipia Kajala faini ya Sh. milioni 13 na kumnusuru kutokwenda Segerea a.k.a Segedansi, wawili hao walikuwa marafiki kama pete na kidole.
SIKU KAMA HIZI
“Walishinda wote, walilala wote, walikwenda klabu wote yaani Kajala alikuwa anamnyenyekea ‘madam’ Wema kwa kumuepusha na kifungo cha miaka 7 jela,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:
“Kuna wakati hapa katikati Kajala alikuwa kama katibu muhtasi wa madam, si unajua lazima atumikie fedha za watu?
“Kabla hajaenda Mwanza kwa ajili ya mapumziko kwa bibi zake, nilimsikia Kajala akilalama kuwa madam aliamka siku moja akawa amemchunia, unaambiwa hata salamu ikawa hakuna.
Wema akimlisha keki Kajala wakati wa sherehe ya kumkaribisha uraiani.
TATIZO NI WAPAMBE
“Hapo ndiyo maneno ya pembeni yakaanza kwa sababu mbali na Kajala, Wema pia ana wapambe wengine na mbali na Wema, Kajala naye ana kampani. Kwa hiyo sosi ya manenomaneno ni hizo kampani zao.
“Ipo siku kabisa Wema alimlalamikia Kajala hadharani kuwa amekuwa akimsema vibaya kwa watu.
“Yale maneno yalimuuma sana Kajala, ikabidi arudi nyumbani kwao lakini akawa anaogopa kumwambia mama yake kuwa ametibuana na Wema hadi alipotimkia Mwanza.
KUMBE ALIMKOSESHA DILI?
“Lakini kabla ya hii ishu ya kulaumiana, kipindi cha nyuma kidogo Kajala alipata dili la kwenda kurekodi filamu nchini China na mastaa wengine lakini ikadaiwa kuwa Wema alichomoa hivyo mwigizaji huyo hakwenda pamoja na kwamba alishapewa baraka zote na baba yake.
“Unaambiwa alikuwa amekamilisha taratibu zote za kwenda China, hadi tiketi alikuwa ameshakata lakini suala hilo lilipotua kwa Wema, ilidaiwa kuwa alikataa kumruhusu.
TATIZO MILIONI 13?
“Mimi nakwambia zile milioni 13 zinamkosesha raha Kajala hadi unamuona kabisa kwamba ana stress (msongo wa mawazo).
“Wewe fikiria, kazi inayomwingizia mkwanja ni filamu, sasa unaambiwa inadaiwa kuwa madam hataki acheze filamu za watu wengine, sasa ataishije jamani?
SASA NI KUNUNIANA KWA KWENDA MBELE
“Mimi nakwambia ndiyo maana ameamua kwenda kupumzika Mwanza baada ya kuwa wananuniana kwa kwenda mbele.”
Baada ya kupata habari hizo, Ijumaa lilimtafuta Wema kwa njia ya kilongalonga chake cha kiganjani ili kupata undani wa sakata hilo lakini hakupatikana hewani.
NYUMBANI KWA WEMA
Baadaye mwanahabari wetu alisaga lami hadi kwa staa huyo Kijitonyama, Dar, alipogonga geti alitoka mlinzi aliyedai kuwa ‘malkia’ alikuwa ndani amelala na hakuhitaji usumbufu pamoja na kwamba ilikuwa saa 6:30 mchana.
MENEJA WAKE ANASEMAJE?
Hata hivyo, Ijumaa lilibisha hodi ofisini kwa Wema, Mwananyamala-Komakoma ili kuzungumza na meneja wake, Martin Kadinda ambaye alikuwa na haya ya kusema:
“Ni kweli Kajala yupo Mwanza, aliomba ruhusa ya kwenda kupumzika tukampa. Hayo mengine ya kutibuana na madam siwezi kuyasemea kwa sababu yapo nje ya uwezo wangu.
“Lingekuwa ni suala la kazi hapo sawa lakini ni vizuri ukazungumza na mkurugenzi mwenyewe (Wema) lakini sidhani kama ataweza kuzungumza kwa sababu alikuwa anaumwa, amezidiwa na kupelekwa hospitali.”
WEMA ANAUMWA NINI?
Alipoulizwa Wema anaumwa nini, Kadinda alifunguka: “Sijajua lakini ugonjwa ni siri kati ya mhusika na daktari, cha msingi wewe ujue tu anaumwa.”
HUYU HAPA KAJALA
Baada ya kupita kote huko kusaka undani wa sakata hilo, Ijumaa lilimgeukia Kajala kwa njia ya simu ya mkononi akiwa jijini Mwanza na kumuuliza kulikoni kutibuana na Wema.
Huku sauti ikiwa chini, Kajala alisema: “Ni kweli kuna hali ambayo hata mimi mwenyewe nashindwa kuelewa lakini siwezi kuzungumzia kwa leo nikiamini yatapita.”
SOURCE : GPL

Huyu ndio MWANAMKE mzuri Dunia.....The Beautiful Woman in the World

0
 b2ap3 thumbnail 11FATMA
The Queen of Saudi Arabia - Fatima Kulsum Zohar Godabari. A while ago, the world had the rare opportunity of beholding her beauty when she was photographed without her Niqab covering her face. Her skin, bulgy eyes, lips, facial structure...OMG!!! 'A miracle work of Nature'.b2ap3_thumbnail_9FATMA.jpgb2ap3_thumbnail_10FATM.jpgb2ap3_thumbnail_1331115183.jpgb2ap3_thumbnail_queen-607920.jpgb2ap3_thumbnail_Queen-SongsBlasts.Com-02.jpgb2ap3_thumbnail_Shaima-Al-Hammadi-10.jpgb2ap3_thumbnail_Fatima-5.jpg