DIVA LOVENESS LOVE ATAKAENIOA MAHARI SI CHINI YA MILIONI 500

0

Mwana dadiva anaeendisha kipindi cha ala za roho ndani ya the people's station Diva loveness love jana amefunguka alipokuwa akifanya kipindi cha xxl na mtu mzima Adam Mchomvu kuwa kwa yeyote atakae jitokeza kumuoa basi lazima awe na si chini ya shilingi millioni 500..sikiliza interview hapa chini its more about music industry and social issues in and out of bongo land

0 comments: