KESI YA ELIZABETH MICHAEL_LULU YASIKILIZWA LEO NA UTATA WAIUBIKA!!
0
Mbele ya hakimu mkazi wa mahakama ya Kisutu jijini Dar es salaam Bi. Augustina Mmbando mapema leo msanii wa filamu Tanzania ambaye anahusishwa na kifo cha msanii mwenzake pia wa filamu Steven Kanumba amesimama kizimbani akikabiliwa na shtaka hilo huku mahakama ikiamuru mtuhumiwa huyo kutojibu lolote kuhusiana na kesi hiyo.Utata uliibuka wakati Mawakili wanao mtetea Lulu Keneth Fungamtama, Fulgence Massawe, Peter Kibatala na Jackline De Meero, Ambapo